-
Mambo ya Walawi 23:23, 24Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
23 Yehova akaendelea kumwambia Musa: 24 “Waambie hivi Waisraeli: ‘Siku ya kwanza ya mwezi wa saba, mtakuwa na pumziko kamili, mtaadhimisha kusanyiko takatifu litakalotangazwa kwa mlio wa tarumbeta.+
-