Isaya 30:30 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 30 Yehova atafanya sauti yake kuu+ isikiweNaye ataonyesha mkono wake+ unaposhuka kwa hasira kali,+Ukiwa na mwali wa moto unaoteketeza,+Tufani ya mvua na dhoruba yenye ngurumo+ na mvua ya mawe.+
30 Yehova atafanya sauti yake kuu+ isikiweNaye ataonyesha mkono wake+ unaposhuka kwa hasira kali,+Ukiwa na mwali wa moto unaoteketeza,+Tufani ya mvua na dhoruba yenye ngurumo+ na mvua ya mawe.+