-
Yeremia 50:20Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
20 “Siku hizo na wakati huo,” asema Yehova,
“Hatia ya Israeli itatafutwa,
Lakini hakutakuwa na hatia yoyote,
Na dhambi za Yuda hazitapatikana,
Kwa maana nitawasamehe wale nitakaowaacha wabaki.”+
-