Kumbukumbu la Torati 32:36 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 36 Kwa maana Yehova atawahukumu watu wake,+Naye atawahurumia* watumishi wake+Atakapoona nguvu zao zimeisha,Na kwamba waliobaki ni wasio na uwezo na walio dhaifu peke yao. Zaburi 135:14 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 14 Kwa maana Yehova atawatetea* watu wake,+Naye atawahurumia* watumishi wake.+
36 Kwa maana Yehova atawahukumu watu wake,+Naye atawahurumia* watumishi wake+Atakapoona nguvu zao zimeisha,Na kwamba waliobaki ni wasio na uwezo na walio dhaifu peke yao.