1 Mambo ya Nyakati 16:27 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 27 Mbele zake kuna utukufu* na fahari;+Katika makao yake kuna nguvu na shangwe.+ 1 Mambo ya Nyakati 29:11 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 11 Ee Yehova, ukuu ni wako+ na nguvu+ na uzuri na fahari na utukufu,*+ kwa maana kila kitu mbinguni na duniani ni chako.+ Ufalme ni wako, Ee Yehova.+ Wewe Ndiye unayejikweza mwenyewe ukiwa mkuu* juu ya vyote.
11 Ee Yehova, ukuu ni wako+ na nguvu+ na uzuri na fahari na utukufu,*+ kwa maana kila kitu mbinguni na duniani ni chako.+ Ufalme ni wako, Ee Yehova.+ Wewe Ndiye unayejikweza mwenyewe ukiwa mkuu* juu ya vyote.