-
2 Mambo ya Nyakati 29:27Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
27 Kisha Hezekia akaagiza dhabihu ya kuteketezwa itolewe kwenye madhabahu.+ Dhabihu ya kuteketezwa ilipoanza kutolewa, wimbo wa Yehova ulianza na pia milio ya tarumbeta, kwa kufuata mwongozo wa ala za Mfalme Daudi wa Israeli.
-