Zaburi 8:1 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 8 Ee Yehova Bwana wetu, jinsi jina lako lilivyo kuu katika dunia yote;Umeweka fahari yako juu zaidi hata kuliko mbingu!*+ Zaburi 148:13 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 13 Na walisifu jina la Yehova,Kwa maana jina lake peke yake liko juu sana lisiweze kufikiwa.+ Ukuu wake uko juu ya dunia na mbingu.+ Ufunuo 15:4 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 4 Ni nani ambaye kwa kweli hatakuogopa wewe, Yehova,* na kulitukuza jina lako, kwa kuwa wewe peke yako ni mshikamanifu?+ Kwa maana mataifa yote yatakuja na kuabudu mbele zako,+ kwa sababu amri zako za uadilifu zimefunuliwa.”
8 Ee Yehova Bwana wetu, jinsi jina lako lilivyo kuu katika dunia yote;Umeweka fahari yako juu zaidi hata kuliko mbingu!*+
13 Na walisifu jina la Yehova,Kwa maana jina lake peke yake liko juu sana lisiweze kufikiwa.+ Ukuu wake uko juu ya dunia na mbingu.+
4 Ni nani ambaye kwa kweli hatakuogopa wewe, Yehova,* na kulitukuza jina lako, kwa kuwa wewe peke yako ni mshikamanifu?+ Kwa maana mataifa yote yatakuja na kuabudu mbele zako,+ kwa sababu amri zako za uadilifu zimefunuliwa.”