-
Zaburi 95:6, 7Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
6 Njooni, tuabudu na kuinama;
Na tupige magoti mbele za Yehova Muumba wetu.+
Leo ikiwa mtaisikiliza sauti yake,+
-
Ezekieli 34:31Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
31 “‘Nanyi kondoo wangu,+ kondoo ninaowatunza, ninyi ni wanadamu tu, nami ni Mungu wenu,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.”
-
-
-