Zaburi 147:2 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 2 Yehova analijenga Yerusalemu;+Huwakusanya pamoja watu wa Israeli waliotawanywa.+ Yeremia 33:7 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 7 Nami nitawarudisha mateka wa Yuda na mateka wa Israeli,+ nami nitawajenga kama nilivyofanya mwanzoni.+
7 Nami nitawarudisha mateka wa Yuda na mateka wa Israeli,+ nami nitawajenga kama nilivyofanya mwanzoni.+