Hesabu 11:4 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 4 Kisha umati wa watu waliochangamana nao*+ ukaanza kutamani chakula kwa pupa,+ basi Waisraeli wakaanza kulia tena na kusema: “Ni nani atakayetupatia nyama tule?+ Kumbukumbu la Torati 9:22 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 22 “Pia, mlimkasirisha Yehova kule Tabera,+ kule Masa,+ na Kibroth-hataava.+ 1 Wakorintho 10:6 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
4 Kisha umati wa watu waliochangamana nao*+ ukaanza kutamani chakula kwa pupa,+ basi Waisraeli wakaanza kulia tena na kusema: “Ni nani atakayetupatia nyama tule?+