-
Hesabu 20:2Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
2 Mahali hapo hapakuwa na maji kwa ajili ya Waisraeli,+ basi wakakusanyika dhidi ya Musa na Haruni.
-
-
Hesabu 20:12Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
12 Baadaye Yehova akamwambia hivi Musa na Haruni: “Kwa sababu hamkuonyesha kwamba mna imani kwangu na kunitakasa mbele ya Waisraeli, hamtawaingiza watu hawa katika nchi ambayo nitawapa.”+
-
-
Hesabu 27:13, 14Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
13 Baada ya kuiona, utakufa pia na kuzikwa pamoja na watu wako,*+ kama Haruni ndugu yako alivyozikwa,+ 14 kwa sababu Waisraeli walipokuwa wakigombana nami katika nyika ya Zini, mliasi agizo langu la kunitakasa mbele yao nilipowapa maji.+ Hayo ndiyo maji ya Meriba+ huko Kadeshi+ katika nyika ya Zini.”+
-