Kumbukumbu la Torati 32:30 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 30 Mtu mmoja angewezaje kuwakimbiza 1,000,Na wawili kuwafanya 10,000 wakimbie?+ Kama Mwamba wao hangekuwa amewauza+Na Yehova kuwatia mikononi mwa maadui? Waamuzi 3:8 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 8 Ndipo hasira ya Yehova ikawaka dhidi ya Waisraeli, naye akawatia* mikononi mwa Kushan-rishathaimu mfalme wa Mesopotamia.* Na Waisraeli wakamtumikia Kushan-rishathaimu kwa miaka minane.
30 Mtu mmoja angewezaje kuwakimbiza 1,000,Na wawili kuwafanya 10,000 wakimbie?+ Kama Mwamba wao hangekuwa amewauza+Na Yehova kuwatia mikononi mwa maadui?
8 Ndipo hasira ya Yehova ikawaka dhidi ya Waisraeli, naye akawatia* mikononi mwa Kushan-rishathaimu mfalme wa Mesopotamia.* Na Waisraeli wakamtumikia Kushan-rishathaimu kwa miaka minane.