-
Isaya 63:7Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
7 Nitayataja matendo ya Yehova ya upendo mshikamanifu,
Matendo ya Yehova yanayostahili sifa,
Kwa sababu ya mambo yote ambayo Yehova ametutendea,+
Mambo mengi mema ambayo ameitendea nyumba ya Israeli,
Kulingana na rehema zake na upendo wake mshikamanifu ulio mwingi.
-
-
Maombolezo 3:32Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
32 Ingawa amesababisha huzuni, ataonyesha pia rehema kulingana na upendo wake mwingi sana mshikamanifu.+
-