Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 16:36
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 36 Yehova, Mungu wa Israeli, na asifiwe

      Kwa umilele wote.’”*

      Na watu wote wakasema, “Amina!”* nao wakamsifu Yehova.

  • 1 Mambo ya Nyakati 29:10
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 10 Kisha Daudi akamsifu Yehova mbele ya kutaniko lote. Daudi akasema: “Na usifiwe, Ee Yehova Mungu wa Israeli baba yetu, kwa umilele wote.*

  • Zaburi 106:48
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 48 Yehova, Mungu wa Israeli, na asifiwe

      Kwa umilele wote.*+

      Na watu wote waseme, “Amina!”*

      Msifuni Yah!*

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki