Zaburi 119:82 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 82 Macho yangu yanatamani sana neno lako+Huku nikisema: “Utanifariji lini?”+ Zaburi 130:6 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 6 Ninamngojea Yehova kwa hamu,+Kuliko walinzi wanavyoingojea asubuhi,+Naam, kuliko walinzi wanavyoingojea asubuhi.
6 Ninamngojea Yehova kwa hamu,+Kuliko walinzi wanavyoingojea asubuhi,+Naam, kuliko walinzi wanavyoingojea asubuhi.