1 Mambo ya Nyakati 10:13 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 13 Kwa hiyo Sauli alikufa kwa sababu hakuwa mwaminifu kwa Yehova kwa maana hakutii neno la Yehova,+ na pia kwa sababu alitafuta ushauri kutoka kwa mtu aliyewasiliana na roho+ Zaburi 53:5 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 5 Lakini watajawa na hofu kubwa,Hofu ambayo hawajawahi kamwe kuwa nayo,*Kwa maana Mungu ataitawanya mifupa ya wale wanaowashambulia ninyi.* Mtawaaibisha, kwa maana Yehova amewakataa wao. Isaya 59:8 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 8 Hawajaijua njia ya amani,Na hakuna haki katika vijia vyao.+ Wanazipotosha barabara zao;Hakuna yeyote anayetembea humo atakayejua amani.+
13 Kwa hiyo Sauli alikufa kwa sababu hakuwa mwaminifu kwa Yehova kwa maana hakutii neno la Yehova,+ na pia kwa sababu alitafuta ushauri kutoka kwa mtu aliyewasiliana na roho+
5 Lakini watajawa na hofu kubwa,Hofu ambayo hawajawahi kamwe kuwa nayo,*Kwa maana Mungu ataitawanya mifupa ya wale wanaowashambulia ninyi.* Mtawaaibisha, kwa maana Yehova amewakataa wao.
8 Hawajaijua njia ya amani,Na hakuna haki katika vijia vyao.+ Wanazipotosha barabara zao;Hakuna yeyote anayetembea humo atakayejua amani.+