-
Zaburi 66:12Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
12 Ulimruhusu mwanadamu anayeweza kufa apande juu yetu;*
Tulipita motoni na katika maji;
Kisha ukatuleta mahali penye kitulizo.
-
-
Isaya 51:23Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
23 Nitakitia mkononi mwa wale wanaokutesa,+
Wale waliokuambia, ‘Inama chini ili tutembee juu yako!’
Basi ukaufanya mgongo wako kama ardhi,
Kama barabara yao ya kutembea juu yake.”
-