Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 38:4
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    •  4 Kwa maana dhambi zangu zimetanda juu ya kichwa changu;+

      Kama mzigo mzito, ni nzito sana siwezi kuzibeba.

  • Zaburi 103:14
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • Zaburi 143:1, 2
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 143 Ee Yehova, isikie sala yangu;+

      Sikiliza sihi yangu ya kuomba msaada.

      Nijibu katika uaminifu wako na katika uadilifu wako.

       2 Usinihukumu mimi mtumishi wako,

      Kwa maana hakuna yeyote aliye hai anayeweza kuwa mwadilifu mbele zako.+

  • Isaya 55:7
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • Danieli 9:18
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 18 Tega sikio lako, Ee Mungu wangu, usikie! Fungua macho yako uone hali yetu ya ukiwa na jiji ambalo limeitwa kwa jina lako; kwa maana hatukuombi kwa sababu ya matendo yetu ya uadilifu bali kwa sababu ya rehema yako kuu.+

  • Waroma 3:20
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 20 Kwa hiyo, hakuna mtu yeyote atakayetangazwa* kuwa mwadilifu mbele zake kupitia matendo ya sheria,+ kwa maana kupitia sheria tunapata ujuzi sahihi kuhusu dhambi.+

  • Tito 3:5
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 5 (si kwa sababu ya matendo yoyote ya uadilifu tuliyokuwa tumefanya,+ bali kwa sababu ya rehema yake),+ alituokoa kupitia kuoshwa kulikotuleta kwenye uzima,+ na kwa kutufanya wapya kupitia roho takatifu.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki