-
1 Samweli 30:6Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
6 Daudi alifadhaika sana, kwa sababu wanaume wake walitaka kumpiga mawe, kwa maana wanaume wote walikuwa na uchungu mwingi sana kwa kuwapoteza wana na mabinti wao. Lakini Daudi akajitia nguvu kwa msaada wa Yehova Mungu wake.+
-
-
Zaburi 62:1Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
62 Kwa kweli, ninamngojea Mungu kimyakimya.
Wokovu wangu unatoka kwake.+
-