-
1 Wafalme 8:17Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
17 Moyo wa baba yangu Daudi ulitamani kujenga nyumba kwa ajili ya jina la Yehova Mungu wa Israeli.+
-
-
1 Mambo ya Nyakati 15:3Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
3 Kisha Daudi akawakusanya Waisraeli wote Yerusalemu ili kulipandisha Sanduku la Yehova na kulileta mahali alipotayarisha kwa ajili yake.+
-
-
1 Mambo ya Nyakati 15:12Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
12 akawaambia: “Ninyi ndio viongozi wa koo* za Walawi. Jitakaseni, ninyi na ndugu zenu, nanyi mlipandishe Sanduku la Yehova, Mungu wa Israeli mpaka mahali ambapo nimetayarisha kwa ajili yake.
-