Zaburi 119:68 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 68 Wewe ni mwema+ na kazi zako ni njema. Nifundishe masharti yako.+ Mathayo 19:17 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 17 Yesu akamwambia: “Kwa nini unaniuliza kuhusu mambo mema? Kuna Mmoja tu aliye mwema.+ Hata hivyo, ikiwa unataka kuingia katika uzima, zishike amri sikuzote.”+
17 Yesu akamwambia: “Kwa nini unaniuliza kuhusu mambo mema? Kuna Mmoja tu aliye mwema.+ Hata hivyo, ikiwa unataka kuingia katika uzima, zishike amri sikuzote.”+