-
Yeremia 51:16Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
16 Anapofanya sauti yake isikike,
Maji yaliyo mbinguni huwa na msukosuko,
Naye huyafanya mawingu yapande* kutoka kwenye miisho ya dunia.
-
-
Yona 1:4Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
4 Ndipo Yehova akavumisha upepo mkali baharini, dhoruba* kali sana ikatokea baharini hivi kwamba meli ikawa karibu kuvunjika-vunjika.
-