-
Yeremia 49:7Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
7 Kuhusu Edomu, Yehova wa majeshi anasema hivi:
“Je, hakuna tena hekima yoyote huko Temani?+
Je, ushauri mzuri umetoweka kwa wale walio na uelewaji?
Je, hekima yao imeoza?
-
-
Ezekieli 25:12Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
12 “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: ‘Nchi ya Edomu imelipiza kisasi dhidi ya nyumba ya Yuda nayo imepata hatia kubwa kwa kulipiza kisasi dhidi yake;+
-
-
Obadia 10-13Tafsiri ya Ulimwegu Mpya