-
Ayubu 31:4Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
4 Je, yeye haoni njia zangu+
Na kuhesabu hatua zangu zote?
-
-
Zaburi 121:8Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
8 Yehova atakulinda katika mambo yote unayofanya*
Kuanzia sasa mpaka milele.
-
-
Methali 5:21Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
21 Kwa maana njia za mwanadamu ziko mbele ya macho ya Yehova;
Yeye huvichunguza vijia vyake vyote.+
-