Ayubu 26:14 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 14 Tazama! Hizi ni kingo tu za njia zake;+Ni mnong’ono hafifu tu uliosikika kumhusu! Basi ni nani anayeweza kuelewa mngurumo wake wenye nguvu?”+ Ayubu 42:3 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 3 Ulisema, ‘Ni nani huyu anayepotosha mashauri yangu bila ujuzi?’+ Kwa hiyo nikazungumza, lakini sikuwa na uelewajiKuhusu mambo yanayonistaajabisha sana, ambayo siyajui.+ Zaburi 40:5 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya Waroma 11:33 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
14 Tazama! Hizi ni kingo tu za njia zake;+Ni mnong’ono hafifu tu uliosikika kumhusu! Basi ni nani anayeweza kuelewa mngurumo wake wenye nguvu?”+
3 Ulisema, ‘Ni nani huyu anayepotosha mashauri yangu bila ujuzi?’+ Kwa hiyo nikazungumza, lakini sikuwa na uelewajiKuhusu mambo yanayonistaajabisha sana, ambayo siyajui.+