-
Zaburi 22:9Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
9 Wewe ndiye uliyenitoa tumboni,+
Ni Wewe uliyenifanya nihisi nikiwa salama kwenye matiti ya mama yangu.
-
-
Zaburi 71:6Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
6 Nimekutegemea tangu nilipozaliwa;
Wewe ndiye uliyenitoa tumboni mwa mama yangu.+
Ninakusifu daima.
-
-
Yeremia 1:5Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
Nilikufanya uwe nabii kwa mataifa.”
-