Zaburi 19:1 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 19 Mbingu zinatangaza utukufu wa Mungu;+Na anga lililo juu linatangaza kazi ya mikono yake.+ Zaburi 104:24 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya Zaburi 111:2 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 2 Kazi za Yehova ni kuu;+ד [Daleth] Wale wote wanaopendezwa nazo hujifunza kuzihusu.+ Ufunuo 15:3 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 3 Walikuwa wanaimba wimbo wa Musa+ mtumwa wa Mungu na wimbo wa Mwanakondoo,+ wakisema: “Matendo yako ni makuu na ya ajabu,+ Yehova* Mungu, Mweza-Yote.+ Njia zako ni za uadilifu na za kweli,+ Mfalme wa umilele.+
3 Walikuwa wanaimba wimbo wa Musa+ mtumwa wa Mungu na wimbo wa Mwanakondoo,+ wakisema: “Matendo yako ni makuu na ya ajabu,+ Yehova* Mungu, Mweza-Yote.+ Njia zako ni za uadilifu na za kweli,+ Mfalme wa umilele.+