Zaburi 4:8 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 8 Nitajilaza chini na kulala usingizi kwa amani,+Kwa maana wewe peke yako, Ee Yehova, hunifanya niishi kwa usalama.+ Methali 3:24 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 24 Unapolala, hutaogopa;+Utalala, na usingizi wako utakuwa mtamu.+
8 Nitajilaza chini na kulala usingizi kwa amani,+Kwa maana wewe peke yako, Ee Yehova, hunifanya niishi kwa usalama.+