-
Zaburi 18:6Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
6 Katika taabu yangu nilimwita Yehova,
Niliendelea kumlilia Mungu wangu anisaidie.
-
-
Marko 15:34Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
34 Na saa tisa Yesu akapaza sauti: “Eli, Eli, lama sabakthani?” maneno hayo yanapotafsiriwa yanamaanisha, “Mungu wangu, Mungu wangu, kwa nini umeniacha?”+
-