-
Zaburi 25:4, 5Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
ה [He]
5 Nitembeze katika kweli yako na kunifundisha,+
Kwa maana wewe ni Mungu wa wokovu wangu.
ו [Waw]
Ninakutumaini mchana kutwa.
-
-
Zaburi 27:11Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
11 Nifundishe njia yako, Ee Yehova,+
Niongoze katika kijia cha unyoofu kwa sababu ya maadui wangu.
-