Zaburi 30:9 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 9 Kuna faida gani nikifa,* nikishuka shimoni?*+ Je, mavumbi yatakusifu?+ Je, yatasimulia kuhusu uaminifu wako?+ Zaburi 115:17 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 17 Watu waliokufa hawamsifu Yah;+Wala yeyote anayeshuka kwenye ukimya wa kifo.*+ Mhubiri 9:5 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya Mhubiri 9:10 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
9 Kuna faida gani nikifa,* nikishuka shimoni?*+ Je, mavumbi yatakusifu?+ Je, yatasimulia kuhusu uaminifu wako?+