24 Kama singefanya kati yao kazi ambazo hakuna mwingine aliyezifanya, hawangekuwa na dhambi;+ lakini sasa wameniona, nao wamenichukia mimi na pia Baba yangu. 25 Lakini hilo lilifanyika ili kutimiza neno lililoandikwa katika Sheria yao: ‘Walinichukia bila sababu.’+