Zaburi 37:18 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 18 Yehova anajua mambo wanayokabili watu wasio na lawama,*Na urithi wao utadumu milele.+ Yeremia 12:3 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 3 Lakini unanijua vema, Ee Yehova,+ unaniona;Umeuchunguza moyo wangu na kuupata ukiwa katika muungano nawe.+ Waweke kando kama kondoo wa kuchinjwa,Na uwatenge kwa ajili ya siku ya kuuawa. 1 Petro 3:12 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
3 Lakini unanijua vema, Ee Yehova,+ unaniona;Umeuchunguza moyo wangu na kuupata ukiwa katika muungano nawe.+ Waweke kando kama kondoo wa kuchinjwa,Na uwatenge kwa ajili ya siku ya kuuawa.