Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 16:14
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 14 Shangilieni wakati wa sherehe yenu,+ ninyi na wana wenu, mabinti wenu, watumwa wenu wa kiume, vijakazi wenu, Walawi, wakaaji wageni, mayatima, na wajane walio ndani ya majiji yenu.

  • Kumbukumbu la Torati 16:16
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 16 “Mara tatu kwa mwaka, wanaume wenu wote wanapaswa kwenda mbele za Yehova Mungu wenu mahali atakapochagua: katika Sherehe ya Mikate Isiyo na Chachu,+ Sherehe ya Majuma,+ na Sherehe ya Vibanda,*+ na hakuna yeyote kati yao anayepaswa kwenda mbele za Yehova mikono mitupu.

  • 2 Mambo ya Nyakati 30:23, 24
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 23 Kisha kutaniko lote likaamua kuendelea na sherehe hiyo kwa siku saba zaidi, kwa hiyo waliifanya kwa siku saba zaidi huku wakishangilia.+ 24 Na Mfalme Hezekia wa Yuda alitoa mchango wa ng’ombe dume 1,000 na kondoo 7,000 kwa ajili ya kutaniko, na wakuu walitoa mchango wa ng’ombe dume 1,000 na kondoo 10,000 kwa ajili ya kutaniko;+ na makuhani wengi walikuwa wakijitakasa.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki