-
Kumbukumbu la Torati 16:14Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
14 Shangilieni wakati wa sherehe yenu,+ ninyi na wana wenu, mabinti wenu, watumwa wenu wa kiume, vijakazi wenu, Walawi, wakaaji wageni, mayatima, na wajane walio ndani ya majiji yenu.
-
-
2 Mambo ya Nyakati 30:23, 24Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
23 Kisha kutaniko lote likaamua kuendelea na sherehe hiyo kwa siku saba zaidi, kwa hiyo waliifanya kwa siku saba zaidi huku wakishangilia.+ 24 Na Mfalme Hezekia wa Yuda alitoa mchango wa ng’ombe dume 1,000 na kondoo 7,000 kwa ajili ya kutaniko, na wakuu walitoa mchango wa ng’ombe dume 1,000 na kondoo 10,000 kwa ajili ya kutaniko;+ na makuhani wengi walikuwa wakijitakasa.+
-