1 Samweli 2:6 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 6 Yehova huua, naye huhifadhi uhai;*Hushusha Kaburini,* naye hufufua.+ Ayubu 7:9 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 9 Kama wingu linalofifia na kutoweka,Mtu anayeshuka chini Kaburini* harudi juu tena.+