-
Isaya 1:11Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
11 “Dhabihu zenu nyingi zina faida gani kwangu?”+ asema Yehova.
-
-
Yeremia 7:22, 23Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
22 Kwa maana siku niliyowatoa mababu zenu nchini Misri, sikuwaambia wala kuwaamuru kuhusu dhabihu nzima za kuteketezwa na dhabihu nyingine.+ 23 Lakini niliwaamuru hivi: “Tiini sauti yangu, nami nitakuwa Mungu wenu, nanyi mtakuwa watu wangu.+ Ni lazima mtembee katika njia yote ninayowaamuru, ili mambo yawaendee vema.”’+
-