-
Zaburi 69:30, 31Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
30 Nitaliimbia sifa jina la Mungu,
Nami nitamtukuza kwa kutoa shukrani.
31 Jambo hilo litampendeza Yehova kuliko ng’ombe dume,
Kuliko ng’ombe dume mchanga mwenye pembe na kwato.+
-
-
Methali 21:3Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
3 Kutenda mambo manyoofu na ya haki
Humpendeza Yehova zaidi kuliko dhabihu.+
-