-
Mhubiri 2:12Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
12 Basi nikaanza kuchunguza hekima na wazimu na ujinga.+ (Kwa maana mtu anayekuja baada ya mfalme anaweza kufanya nini? Anaweza kufanya tu jambo ambalo tayari limefanywa.)
-
-
Mhubiri 7:25Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
25 Niliuongoza moyo wangu kujua na kuchunguza na kutafuta hekima na maana ya mambo, na kuelewa uovu wa upumbavu na ujinga wa kuwa wazimu.+
-