-
Mhubiri 2:15Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
15 Kisha nikasema moyoni mwangu: “Kinachompata mpumbavu ndicho kitakachonipata mimi pia.”+ Sasa, basi, nilipata faida gani kwa kuwa na hekima kupita kiasi? Basi nikasema moyoni mwangu: “Hili pia ni ubatili.”
-
-
Mhubiri 12:12Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
12 Kuhusu jambo lingine lolote zaidi ya hayo, mwanangu, jihadhari: Hakuna mwisho wa kutunga vitabu vingi, na kuvisoma sana huuchosha sana mwili.+
-