Methali 14:8 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 8 Kwa hekima, mtu mwerevu huelewa njia anayofuata,Lakini wapumbavu hudanganywa* na ujinga wao.+ Methali 17:16 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 16 Kuna faida gani kwa mpumbavu kuwa na uwezo wa kupata hekimaIlhali hana moyo wa kuipata?*+