-
Ayubu 38:8Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
8 Na ni nani aliyeizuia bahari nyuma ya milango+
Ilipotoka kwa nguvu katika tumbo la uzazi,
-
Ayubu 38:10Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
10 Nilipoiwekea mpaka wangu
Na kuweka makomeo yake na milango yake mahali pake,+
-
-
-