Mhubiri 2:16 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 16 Kwa maana hakuna atakayekumbukwa daima, iwe ni mwenye hekima au mpumbavu.+ Siku zijazo, kila mtu atasahauliwa. Na mwenye hekima atakufa jinsi gani? Pamoja na mpumbavu.+ Mhubiri 9:5 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya Isaya 40:6 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 6 Sikilizeni! Kuna mtu anayesema: “Tangaza!” Mwingine anauliza: “Nitangaze nini?” “Wote wenye mwili* ni majani mabichi. Upendo wao wote mshikamanifu ni kama ua la shambani.+
16 Kwa maana hakuna atakayekumbukwa daima, iwe ni mwenye hekima au mpumbavu.+ Siku zijazo, kila mtu atasahauliwa. Na mwenye hekima atakufa jinsi gani? Pamoja na mpumbavu.+
6 Sikilizeni! Kuna mtu anayesema: “Tangaza!” Mwingine anauliza: “Nitangaze nini?” “Wote wenye mwili* ni majani mabichi. Upendo wao wote mshikamanifu ni kama ua la shambani.+