2 Samweli 15:31 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 31 Kisha Daudi akaambiwa hivi: “Ahithofeli ni miongoni mwa watu wanaopanga njama+ pamoja na Absalomu.”+ Daudi akasema: “Ee Yehova,+ tafadhali badili ushauri wa Ahithofeli uwe upumbavu!”+ Isaya 29:14 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 14 Kwa hiyo, mimi Ndiye nitakayewatendea tena watu hawa mambo ya ajabu,+Maajabu juu ya maajabu;Na hekima ya watu wao wenye hekima itatoweka,Na uelewaji wa watu wao wenye busara utafichwa.”+
31 Kisha Daudi akaambiwa hivi: “Ahithofeli ni miongoni mwa watu wanaopanga njama+ pamoja na Absalomu.”+ Daudi akasema: “Ee Yehova,+ tafadhali badili ushauri wa Ahithofeli uwe upumbavu!”+
14 Kwa hiyo, mimi Ndiye nitakayewatendea tena watu hawa mambo ya ajabu,+Maajabu juu ya maajabu;Na hekima ya watu wao wenye hekima itatoweka,Na uelewaji wa watu wao wenye busara utafichwa.”+