Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 42:15
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 15 Nitaiharibu milima na vilima

      Na kukausha kabisa majani yake yote.

      Nitaibadili mito iwe visiwa*

      Na kuyakausha kabisa madimbwi ya maji yenye matete.+

  • Yeremia 50:38
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 38 Kuna uharibifu dhidi ya maji yake, nayo yatakaushwa.+

      Kwa maana ni nchi ya sanamu za kuchongwa,+

      Na kwa sababu ya maono yao yanayotisha wanaendelea kutenda kiwazimu.

  • Ufunuo 16:12
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 12 Malaika wa sita akamwaga bakuli lake juu ya mto mkubwa Efrati,+ na maji yake yakakauka+ ili kutayarisha njia kwa ajili ya wafalme+ wanaotoka mashariki.*

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki