Zaburi 42:2 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 2 Nina kiu kwa ajili ya Mungu, kwa ajili ya Mungu aliye hai.+ Nije lini na kuonekana mbele za Mungu?+ Zaburi 63:1 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 63 Ee Mungu, wewe ni Mungu wangu, ninaendelea kukutafuta.+ Nina kiu kwa ajili yako.+ Ninazimia* kwa sababu ninakutamaniKatika nchi kame iliyokauka, ambayo haina maji.+ Amosi 8:11 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 11 ‘Tazama! Siku zinakuja,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova,‘Nitakapoleta njaa kali nchini,Si njaa kali ya chakula* au kiu ya maji,Bali ya kusikia maneno ya Yehova.+ Mathayo 5:6 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
2 Nina kiu kwa ajili ya Mungu, kwa ajili ya Mungu aliye hai.+ Nije lini na kuonekana mbele za Mungu?+
63 Ee Mungu, wewe ni Mungu wangu, ninaendelea kukutafuta.+ Nina kiu kwa ajili yako.+ Ninazimia* kwa sababu ninakutamaniKatika nchi kame iliyokauka, ambayo haina maji.+
11 ‘Tazama! Siku zinakuja,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova,‘Nitakapoleta njaa kali nchini,Si njaa kali ya chakula* au kiu ya maji,Bali ya kusikia maneno ya Yehova.+