Isaya 32:6 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 6 Kwa maana mtu mpumbavu atazungumza upumbavu,Na moyo wake utatunga mambo yanayodhuru,+Ili kuendeleza uasi imani* na kusema mambo mapotovu dhidi ya Yehova,Kusababisha mwenye njaa akae njaaNa kumnyima mwenye kiu maji ya kunywa. Isaya 59:3 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 3 Kwa maana viganja vyenu vimechafuliwa kwa damu+Na vidole vyenu kwa kosa. Midomo yenu inasema uwongo,+ na ulimi wenu unanong’ona ukosefu wa uadilifu.
6 Kwa maana mtu mpumbavu atazungumza upumbavu,Na moyo wake utatunga mambo yanayodhuru,+Ili kuendeleza uasi imani* na kusema mambo mapotovu dhidi ya Yehova,Kusababisha mwenye njaa akae njaaNa kumnyima mwenye kiu maji ya kunywa.
3 Kwa maana viganja vyenu vimechafuliwa kwa damu+Na vidole vyenu kwa kosa. Midomo yenu inasema uwongo,+ na ulimi wenu unanong’ona ukosefu wa uadilifu.