Isaya 49:14 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 14 Lakini Sayuni aliendelea kusema: “Yehova ameniacha,+ na Yehova amenisahau.”+ Isaya 54:6 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 6 Kwa maana Yehova alikuita kana kwamba wewe ni mke aliyeachwa na aliye na huzuni,*+Kama mke aliyeolewa wakati wa ujana kisha akakataliwa,” asema Mungu wako.
6 Kwa maana Yehova alikuita kana kwamba wewe ni mke aliyeachwa na aliye na huzuni,*+Kama mke aliyeolewa wakati wa ujana kisha akakataliwa,” asema Mungu wako.