-
Isaya 5:12Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
12 Wana kinubi na kinanda,
Tari, filimbi, na divai katika karamu zao;
Lakini hawafikirii utendaji wa Yehova,
Wala hawaioni kazi ya mikono yake.
-
-
Isaya 56:12Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
12 “Njooni, acheni nichukue divai,
Na acheni tunywe kileo kingi.+
Na kesho itakuwa kama leo, itakuwa bora hata zaidi!”
-
-
Amosi 6:4Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
4 Wanalalia vitanda vya pembe za tembo+ na kujinyoosha kwenye makochi,+
Wakila kondoo dume wa kundi na ndama* waliononeshwa;+
-
Yakobo 5:5Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
5 Ninyi mmeishi kwa anasa na kwa ajili ya kutosheleza tamaa zenu duniani. Mmeinonesha mioyo yenu katika siku ya machinjo.+
-
-
-