-
Yeremia 6:9Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
9 Yehova wa majeshi anasema hivi:
“Watawaokota kikamilifu Waisraeli watakaobaki kama zabibu za mwisho zilizo kwenye mzabibu.
Pitisha mkono wako tena kama mtu anayekusanya zabibu kwenye mizabibu.”
-
-
Ezekieli 6:8Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
8 “‘“Lakini nitaacha wengine wabaki, kwa maana baadhi yenu wataponyoka upanga miongoni mwa mataifa mtakapotawanywa katika nchi mbalimbali.+
-