-
Isaya 3:16Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
16 Yehova anasema: “Kwa sababu mabinti wa Sayuni ni wenye majivuno,
Nao wanatembea wakiwa wameinua vichwa vyao juu,*
Wakipepesa-pepesa macho kwa utongozi, wakitembea kwa hatua fupifupi,
Wakiwa na vikuku vinavyotoa milio kwenye vifundo vya miguu,
-